Tanzania Safari Channel


1.1 by Tanzania Broadcasting Corporation
2020年10月24日

Tanzania Safari Channelについて

公式のタンザニアサファリチャンネルモバイルアプリケーション。

Chaneli ya Utalii (Tanzania Safari Channel) ilizinduliwa rasmi na Mheshimiwa Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tarehe 15/12/2018.

Lengo la kuanzisha Chaneli hii ni kukuza utalii wa ndani na nje na halikadhalika kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa uhifadhi.

Maudhui ya Chaneli hii yanalenga kuangazia maeneo ya uhifadhi kama vile: Wanyama wa porini, Viumbe wa Baharini, Misitu, Fukwe, Miamba na Majabari, Utamaduni, Malikale, Michezo, Kumbi za Mikutano na mengineyo.

Madhumuni ya Chaneli hii ni pamoja na:

i. Kuwawezesha Watanzania kuona na kubaini vivutio mbalimbali vilivyoko katika maeneo yote nchini;

ii. Kuwahamasisha wananchi wajenge utamaduni wa kutembelea maeneo yenye vivutio nchini;

iii. Kutangaza duniani vivutio vya utalii vilivyopo Tanzania ili kuongeza idadi ya watalii kutoka nje ya Nchi;

iv. Kuieleza na kuikumbusha Dunia kwamba Mlima Kilimanjaro, Hifadhi ya Serengeti, Ngorongoro na hata Zanzibar vipo Tanzania;

v. Kuhamasisha wananchi kutunza, kuenzi na kudumisha tamaduni za asili;

vi. Kuangazia na kuibua fursa mbalimbali zilizopo kwenye mnyororo wa biashara katika Sekta ya Utalii; na vii. Kuyaenzi maneno ya Baba wa Taifa Mwalimu, Julius Kambarage Nyerere, aliyoyatoa mwaka 1961, kwamba “sisi sote tuna jukumu kubwa la kulinda na kuhifadhi vivutio vya utalii kwa manufaa ya vizazi vilivyopo na vijavyo”.

アプリの追加情報

最終のバージョン

1.1

投稿者

Jose Napz

Android 要件

Android 4.2+

報告

不適切な内容としてフラグ

もっと見る

APKPure Appを使用する

Tanzania Safari Channelの旧いバージョンをダウンロードすることが可能

ダウンロード

APKPure Appを使用する

Tanzania Safari Channelの旧いバージョンをダウンロードすることが可能

ダウンロード

Tanzania Safari Channelの類似アプリ

Tanzania Broadcasting Corporation からもっと手に入れる

発見