Radio Mbiu


4.0.1 بواسطة WorldFamilyLab
10/10/2019

Radio Mbiuحول

صوت الراحة

Radio Mbiu- Sauti ya Faraja ni Radio ya kibiashara lakini inayofanya vipindi vyenye kuwanufaisha wasikilizaji kiroho na kimwili kwa pamoja, kuhabarisha na kuielimisha Jamii ya Watanzania kulingana na mazingira, rika na nyadhifa mbalimbali.

Radio Mbiu- Sauti ya Faraja inapatikana eneo la Bunena Wilaya ya Bukoba Mjini Mkoani Kagera na ofisi zake zinapatikana ndani ya viwanja vya Kanisa Mama la Jimbo Katoliki la Bukoba, ambalo ni Kigango cha Familia Takatifu.

Radio Mbiu-Sauti ya Faraja ni Nyumba ya Ukarimu kwa watu wote bila kujali rangi, dini, umri, kabila wala hali ya Mtu.

Radio Mbiu kwa sasa ina leseni ya hadhi Wilaya ambapo ina fursa ya kuwa na masafa matatu katika kipindi cha mwaka mmoja kabla ya kubadilisha hadhi ya leseni ya sasa.

Lengo la kwanza katika mwaka huu wa kwanza ni kuhakikisha kuwa inasikika katika Mkoa wote wa Kagera kabla ya kujitanua na sehemu za mikoa ya karibu. Kwa sasa Radio Mbiu inasikika katika wilaya za Bukoba Mjini, Bukoba Vijijini, Muleba, Karagwe, Misenyi, na baadhi ya maeneo ya wilaya za Kyerwa na Biharamulo. Eneo ambalo bado kufikiwa ni wilaya ya Ngara na baadhi ya maeneo ya wilaya za Kyerwa na Biharamulo.

معلومات أكثر ل تطبيق

احدث اصدار

4.0.1

محمل

Noval Ramadhani

Android متطلبات النظام

Android 4.1+

Available on

الإبلاغ

تحديد كغير مناسب

عرض المزيد

Use APKPure App

Get Radio Mbiu old version APK for Android

تحميل

Use APKPure App

Get Radio Mbiu old version APK for Android

تحميل

Radio Mbiu البديل

احصل على المزيد WorldFamilyLab

الاكتشاف